Isaiah 65:11


11 a“Bali kwenu ninyi mnaomwacha Bwana
na kuusahau mlima wangu mtakatifu,
ninyi mnaoandaa meza kwa ajili ya Bahati,
Bahati alikuwa mungu wa Wakaldayo ambaye pia alijulikana kama Gadi.

na kujaza mabakuli ya mvinyo uliochanganywa
kwa ajili ya Ajali,
Ajali au Meni alikuwa mungu wa majaliwa.

Copyright information for SwhNEN